top of page
Radio on air
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_d6077d3983134d5483791972c07cf010~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_d6077d3983134d5483791972c07cf010~mv2.webp)
![UMEUMIZA MIOYO YA WANASIMBA LAKINI WEWE SIO WA KWANZA - AHMED ALLY](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_d6077d3983134d5483791972c07cf010~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_d6077d3983134d5483791972c07cf010~mv2.webp)
UMEUMIZA MIOYO YA WANASIMBA LAKINI WEWE SIO WA KWANZA - AHMED ALLY
Huu ndio ujumbe wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally kwenda kwa mchezaji Chasambi. "Rasmi leo ndio umekua mtu mzima wa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2843d9265da04a9f827ce6066e37d682~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_2843d9265da04a9f827ce6066e37d682~mv2.webp)
![MAKOSA YETU MENGI YAMETUGHARIMU" AHMED ALLY](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2843d9265da04a9f827ce6066e37d682~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_2843d9265da04a9f827ce6066e37d682~mv2.webp)
MAKOSA YETU MENGI YAMETUGHARIMU" AHMED ALLY
Kutoka kwenye ukurasa wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya baada ya mchezo wao dhidi ya Fountain Gete...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3e47d61763bd4d72956c2ba32d29c289~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3e47d61763bd4d72956c2ba32d29c289~mv2.webp)
![SINGIDA FATENI MIONGOZO TUTAKUTANA HUKO, YANGAINAJUA INACHOKIFANYA - KAMWE](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3e47d61763bd4d72956c2ba32d29c289~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3e47d61763bd4d72956c2ba32d29c289~mv2.webp)
SINGIDA FATENI MIONGOZO TUTAKUTANA HUKO, YANGAINAJUA INACHOKIFANYA - KAMWE
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Afisa habari na mawasiliano Yanga SC Ally Kamwe amefunguka haya "Singida Taratibu mnazozipigia...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.webp)
![TUMEPOKEA KWA MSHITUKO NA MASIKITIKO - SINGIDA BS](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.webp)
TUMEPOKEA KWA MSHITUKO NA MASIKITIKO - SINGIDA BS
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Klabu ya Singida Black Stars imetolewa taarifa hii kwa umma. "Tumepokea kwa mshituko na...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_40b76f4ec37246bdb240ea90c36a7f82~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_40b76f4ec37246bdb240ea90c36a7f82~mv2.webp)
![MCHEZAJI VICTOR AMTEMA MCHUMBA WAKE WA KIZUNGU ANAYENG'AN'ANIA WAFUNGE NDOA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_40b76f4ec37246bdb240ea90c36a7f82~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_40b76f4ec37246bdb240ea90c36a7f82~mv2.webp)
MCHEZAJI VICTOR AMTEMA MCHUMBA WAKE WA KIZUNGU ANAYENG'AN'ANIA WAFUNGE NDOA
Unaambuwa Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria na Bayer Leverkusen, Victor Boniface, aliachana tu na mpenzi wake raia wa Norway kwa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_12f5274850b6446db264662e20b0100c~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_12f5274850b6446db264662e20b0100c~mv2.webp)
![HAALAND AJIPIGA KUFULI MAN CITY AONGEZA MKATABA WA MIAKA 9.5 MPAKA MWAKA 2034](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_12f5274850b6446db264662e20b0100c~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_12f5274850b6446db264662e20b0100c~mv2.webp)
HAALAND AJIPIGA KUFULI MAN CITY AONGEZA MKATABA WA MIAKA 9.5 MPAKA MWAKA 2034
Mchezaji Erling Haaland ametia saini mkataba mpya Man City kwa miaka 9.5 ijayo ambapo ni hadi mwaka 2034. Panapo Majaliwa hadi wakati huo...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_1bf2c5f802c544a4a4f4110a9cd9be61~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_1bf2c5f802c544a4a4f4110a9cd9be61~mv2.webp)
![SIMBA SC YAPIGWA STOP NA CAF KUINGIZA MASHABIKI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_1bf2c5f802c544a4a4f4110a9cd9be61~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_1bf2c5f802c544a4a4f4110a9cd9be61~mv2.webp)
SIMBA SC YAPIGWA STOP NA CAF KUINGIZA MASHABIKI
Klabu ya Simba SC imefungiwa michezo miwili kucheza bila mashabiki, mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili hii na mchezo mmoja wa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_fce19208b8644d6e9ad3aedaee8c4749~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_fce19208b8644d6e9ad3aedaee8c4749~mv2.webp)
![SOKA LINALIPA MZIZE AFUNGUA DUKA LA NGUO](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_fce19208b8644d6e9ad3aedaee8c4749~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_fce19208b8644d6e9ad3aedaee8c4749~mv2.webp)
SOKA LINALIPA MZIZE AFUNGUA DUKA LA NGUO
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Yanga SC Clement Mzize amefungua duka la kisasa la nguo kupitia ukurasa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_5a0ff6c2ff0e4686b2d94cb222f68626~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_5a0ff6c2ff0e4686b2d94cb222f68626~mv2.webp)
![ENDELEENI KUUGULIA NA POINTI SITA ZA MNYAMA - AHMED ALLY](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_5a0ff6c2ff0e4686b2d94cb222f68626~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_5a0ff6c2ff0e4686b2d94cb222f68626~mv2.webp)
ENDELEENI KUUGULIA NA POINTI SITA ZA MNYAMA - AHMED ALLY
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya "Nyuma mwiko wanaumia sana na...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_70f2591fc5f84af2b8a412369b8dc263~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_70f2591fc5f84af2b8a412369b8dc263~mv2.webp)
![SIMBA SC KUWAJIBIKA UHARIBIFU WA VITI UWANJA WA MKAPA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_70f2591fc5f84af2b8a412369b8dc263~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_70f2591fc5f84af2b8a412369b8dc263~mv2.webp)
SIMBA SC KUWAJIBIKA UHARIBIFU WA VITI UWANJA WA MKAPA
Na VENANCE JOHN Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamaganda Kabudi amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_9d6d24b418e1453480b251e2a47d244d~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_9d6d24b418e1453480b251e2a47d244d~mv2.webp)
![DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_9d6d24b418e1453480b251e2a47d244d~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_9d6d24b418e1453480b251e2a47d244d~mv2.webp)
DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI
Hatimaye michuano ya East Africa Basketball Champions Cup 2024 Zone five ambayo ilikuwa ikifanyika Nairobi Kenya imekamilika na kupelekea...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_62bab76bb0474086b5d44e09c137cef1~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_62bab76bb0474086b5d44e09c137cef1~mv2.webp)
![MCHEZAJI WA ZAMANI WA CHINA ALIYEWAHI KUCHEZA LIGI KUU YA ENGLAND AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KOSA LA RUSHWA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_62bab76bb0474086b5d44e09c137cef1~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_62bab76bb0474086b5d44e09c137cef1~mv2.webp)
MCHEZAJI WA ZAMANI WA CHINA ALIYEWAHI KUCHEZA LIGI KUU YA ENGLAND AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KOSA LA RUSHWA
Na VENANCE JOHN Nyota wa zamani wa soka wa China na kocha wa timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo amehukumiwa kifungo cha miaka 20...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3ad724d3b6d34424a482c9b6cedf942b~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3ad724d3b6d34424a482c9b6cedf942b~mv2.webp)
!["POLENI SANA KWA KIPINDI KIGUMU TUNACHOPITIA" DICKSON JOB](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3ad724d3b6d34424a482c9b6cedf942b~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3ad724d3b6d34424a482c9b6cedf942b~mv2.webp)
"POLENI SANA KWA KIPINDI KIGUMU TUNACHOPITIA" DICKSON JOB
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa nahodha msaidizi wa klabu ya Yanga SC Dickson Job amefunguka haya "Wananchi, Poleni sana kwa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3f537abde8dd4254ad54e85ae13def84~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3f537abde8dd4254ad54e85ae13def84~mv2.webp)
![SIMBA SC YAMTEMA CEO NAHUYU NDIO KAIMU CEO MPYA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3f537abde8dd4254ad54e85ae13def84~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3f537abde8dd4254ad54e85ae13def84~mv2.webp)
SIMBA SC YAMTEMA CEO NAHUYU NDIO KAIMU CEO MPYA
Taarifa iliyotolewa na klabu ya Simba SC inaeleza kuwa "Tunapenda kuutarifu umma kuwa Klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_4641d2051151459cb00992c339bd1baf~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_4641d2051151459cb00992c339bd1baf~mv2.webp)
![MSEMAJI WA TABORA UNITED AMWAMBIA WA SINGIDA BSWAKIWAFUNGA BASI AMUOE BURE](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_4641d2051151459cb00992c339bd1baf~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_4641d2051151459cb00992c339bd1baf~mv2.webp)
MSEMAJI WA TABORA UNITED AMWAMBIA WA SINGIDA BSWAKIWAFUNGA BASI AMUOE BURE
Heka heka za Ligi Kuu ya NBC leo zinaangukia kwa Msemaji wa @taborautd.fc @mwagala.christina ambaye amesema kama kesho timu yake ya...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3c637e7b9bff47eba14a8ee92f2453b4~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3c637e7b9bff47eba14a8ee92f2453b4~mv2.webp)
![TUCHEZE MPIRA TUSITAFUTE HURUMA NA VISINGIZIO - MANARA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3c637e7b9bff47eba14a8ee92f2453b4~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3c637e7b9bff47eba14a8ee92f2453b4~mv2.webp)
TUCHEZE MPIRA TUSITAFUTE HURUMA NA VISINGIZIO - MANARA
Kutoka kwenye ukurasa wa Haji Manara ameandika ujumbe huu "Toka lini Wakuu wa Mikoa wanazuiwa kuzisapoti Team za mikoa wanayoiongoza?...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_4d0e495ebf5440219e275410deabe332~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_4d0e495ebf5440219e275410deabe332~mv2.webp)
![AHMED ALLY AMENIKOSEA SANA ANATUMIA UMAARUFU WAKE KUNICHAFUA - RC SAID MTANDA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_4d0e495ebf5440219e275410deabe332~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_4d0e495ebf5440219e275410deabe332~mv2.webp)
AHMED ALLY AMENIKOSEA SANA ANATUMIA UMAARUFU WAKE KUNICHAFUA - RC SAID MTANDA
Kutoka kwenye mahojiano na kituo cha Crown FM mkuu wa mkoa wa Mwanza Said Mtanda amefunguka haya ""Ahmed Ally amenikosea sana,...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_aa02bed811a74b968661886eefa85dfd~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_aa02bed811a74b968661886eefa85dfd~mv2.webp)
![RODRIGO BENTANCUR WA TOTTENHAM APIGWA MARUFUKU MECHI SABA KWA MATAMSHI YA KIBAGUZI KWA SON HEUNG-MIN](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_aa02bed811a74b968661886eefa85dfd~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_aa02bed811a74b968661886eefa85dfd~mv2.webp)
RODRIGO BENTANCUR WA TOTTENHAM APIGWA MARUFUKU MECHI SABA KWA MATAMSHI YA KIBAGUZI KWA SON HEUNG-MIN
Na VENANCE JOHN Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Rodrigo Bentancur amefungiwa mechi saba baada ya raia huyo wa Uruguay kutoa matamshi...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_232a8fb13cea4f89ac56d1c4a9c3b1e8~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_232a8fb13cea4f89ac56d1c4a9c3b1e8~mv2.webp)
![SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU DUNIANI (FIFA) LAOMBWA KUSITISHA KOMBE LA DUNIA KUCHEZWA SAUDI ARABIA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_232a8fb13cea4f89ac56d1c4a9c3b1e8~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_232a8fb13cea4f89ac56d1c4a9c3b1e8~mv2.webp)
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU DUNIANI (FIFA) LAOMBWA KUSITISHA KOMBE LA DUNIA KUCHEZWA SAUDI ARABIA
Na Ester Madeghe, Mashirika ya kutetea haki za binaadamu yamelitaka Shirikisho la Soka Ulimwenguni, FIFA kusitisha mchakato wa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_ac26a6191d044466ae41711f9245e1bc~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_ac26a6191d044466ae41711f9245e1bc~mv2.webp)
![YANGA SC WATIMKA AZAM COMPLEX WAAMUA KUHAMIA KMC COMPLEX](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_ac26a6191d044466ae41711f9245e1bc~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_ac26a6191d044466ae41711f9245e1bc~mv2.webp)
YANGA SC WATIMKA AZAM COMPLEX WAAMUA KUHAMIA KMC COMPLEX
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Yanga SC wametoa taarifa hii kwa umma. "Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuwajulisha...
Msasa Media
Follow, like, comment, and share
Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam
bottom of page