top of page
Radio on air
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_2564241a6d8e4cbfaa1270937adaee25~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_2564241a6d8e4cbfaa1270937adaee25~mv2.webp)
![WALITUONEA SANA HAWA NIKAWA NAWAACHA TU -DIAMOND PLATNUMZ](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_2564241a6d8e4cbfaa1270937adaee25~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_2564241a6d8e4cbfaa1270937adaee25~mv2.webp)
WALITUONEA SANA HAWA NIKAWA NAWAACHA TU -DIAMOND PLATNUMZ
Wakati ngoma ya Comasava yake staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ikiendelea kufanya vyema katika mataifa mbalimbali mkali huyo ameibuka...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_50bd403c80b94807b23d9639389035e9~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_50bd403c80b94807b23d9639389035e9~mv2.webp)
![PICHA ZA AMINI NA LINAH ZAZUA GUMZO MTANDAONI](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_50bd403c80b94807b23d9639389035e9~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_50bd403c80b94807b23d9639389035e9~mv2.webp)
PICHA ZA AMINI NA LINAH ZAZUA GUMZO MTANDAONI
Picha za wasanii wa Bongo Fleva Amini na Linah ambao wamewahi kuwa wapenzi zaidi ya miaka kumi iliyopita zimezua gumzo mitandaoni na...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_efcc1c3fc27644d3a7fc4c3b02ee34c7~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_efcc1c3fc27644d3a7fc4c3b02ee34c7~mv2.webp)
![NDOA YA ROMMY 3D NA SHILOLE NDIO BASI TENA "NIMEMPISHA KIJANA MWENZANGU AENDELEZE GURUDUMU".....](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_efcc1c3fc27644d3a7fc4c3b02ee34c7~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_efcc1c3fc27644d3a7fc4c3b02ee34c7~mv2.webp)
NDOA YA ROMMY 3D NA SHILOLE NDIO BASI TENA "NIMEMPISHA KIJANA MWENZANGU AENDELEZE GURUDUMU".....
Baada ya video kusambaa mtandao zikimuonesha msanii na Mjasiriamali Maarufu Shilole akiwa na mwanaume mwingine jambo lililoacha maswali...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_5d45aed98ce64fd9903a3acaedcb6319~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_5d45aed98ce64fd9903a3acaedcb6319~mv2.webp)
![POSHY QUEEN AMPA BARAKA ZOTE HARMONIZE USIKU WAKE](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_5d45aed98ce64fd9903a3acaedcb6319~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_5d45aed98ce64fd9903a3acaedcb6319~mv2.webp)
POSHY QUEEN AMPA BARAKA ZOTE HARMONIZE USIKU WAKE
Mwanadada Poshy Queen amemtakia kila la kheri mpenzi wake mwanamuziki Harmonize kwenye tukio lake kubwa la uzinduzi wa Albamu yake mpya...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_64d7fa8603bb451fafef4184485ab3a2~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_64d7fa8603bb451fafef4184485ab3a2~mv2.webp)
![DIAMOND AVAA KIATU CHA YEEZY BOOT BEI YAKE TSH MILIONI 2.5](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_64d7fa8603bb451fafef4184485ab3a2~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_64d7fa8603bb451fafef4184485ab3a2~mv2.webp)
DIAMOND AVAA KIATU CHA YEEZY BOOT BEI YAKE TSH MILIONI 2.5
Linapokuja suala la kutupia staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz huwa hataki utani kabisa yupo tayari kutumia mamilioni ilimradi tu...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_977f0549f3d5439d91a7ee3aaadcd40c~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_977f0549f3d5439d91a7ee3aaadcd40c~mv2.webp)
![AUNTY EZEKIEL AMPA ZAWADI YA GARI MWANAE COOKIE IKIWA NI BIRTHDAY YAKE, ATAJA SABABU](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_977f0549f3d5439d91a7ee3aaadcd40c~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_977f0549f3d5439d91a7ee3aaadcd40c~mv2.webp)
AUNTY EZEKIEL AMPA ZAWADI YA GARI MWANAE COOKIE IKIWA NI BIRTHDAY YAKE, ATAJA SABABU
Anaandika @auntyezekiel sababu za kumpa mwanae zawadi ya gari "Kwanza Kabisa Niseme Ahsante MUNGU KWA ZAWADI HII Ya DADA COOKIE! Siwezi...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_891bb9164a1a43108d3e4bbcca60f1e8~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_891bb9164a1a43108d3e4bbcca60f1e8~mv2.webp)
![MCHEKESHAJI TX DULLAH ANUNUA NDINGA SUBARU...](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_891bb9164a1a43108d3e4bbcca60f1e8~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_891bb9164a1a43108d3e4bbcca60f1e8~mv2.webp)
MCHEKESHAJI TX DULLAH ANUNUA NDINGA SUBARU...
Mchekeshaji maarufu kwenye mitandao ya Kijamii TX Dullah ameonesha ni kwa namna gani ukitumia vyema kipaji ulichobarikiwa inalipa,...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_491cde99585642de8060b21a8f1c07a9~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_491cde99585642de8060b21a8f1c07a9~mv2.webp)
![DIAMOND AKUBALI KAZI YA BEXY MUSIC...](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_491cde99585642de8060b21a8f1c07a9~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_491cde99585642de8060b21a8f1c07a9~mv2.webp)
DIAMOND AKUBALI KAZI YA BEXY MUSIC...
Ni furaha iliyoje pale yule aliyekutangulia katika jambo fulani maishani akapendezwa na kile unachokifanya. Hichi ndicho kilichomkuta...
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_447f7044b2e24fff89b4058d46e9edbd~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/146e6d_447f7044b2e24fff89b4058d46e9edbd~mv2.webp)
![JOH MAKINI AMTULIZA GNAKO "HATUWEZI KUTOA MIZIKI KIHOLELA"](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_447f7044b2e24fff89b4058d46e9edbd~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/146e6d_447f7044b2e24fff89b4058d46e9edbd~mv2.webp)
JOH MAKINI AMTULIZA GNAKO "HATUWEZI KUTOA MIZIKI KIHOLELA"
Baada ya @gnakowarawara kushindwa kuvumilia kuona ngoma za Kundi la Weusi zipo ndani tu halafu hawaziachii akaamua kuforce kingi na kutoa...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_270811893a3f45539b6b50b35f0f7821~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_270811893a3f45539b6b50b35f0f7821~mv2.webp)
![KIPAJI CHA LAIZER KINAAMUA NDOTO KUBWA - BABUTALE](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_270811893a3f45539b6b50b35f0f7821~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_270811893a3f45539b6b50b35f0f7821~mv2.webp)
KIPAJI CHA LAIZER KINAAMUA NDOTO KUBWA - BABUTALE
Wakati mjadala ukiendelea mitandaoni juu ya Mtayarishaji gani wa muziki ni mkali Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Hamis Taletale...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_4581d794e7da446a9a4124998a24c597~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_4581d794e7da446a9a4124998a24c597~mv2.webp)
![Kutoka kwa Mwigizaji Irene Uwoya amefunguka haya baada ya kutoa msaada cherehani na sehemu ya mabinti kujifunzia masuala ya urembo](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_4581d794e7da446a9a4124998a24c597~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_4581d794e7da446a9a4124998a24c597~mv2.webp)
Kutoka kwa Mwigizaji Irene Uwoya amefunguka haya baada ya kutoa msaada cherehani na sehemu ya mabinti kujifunzia masuala ya urembo
Safari yangu ya kumtumikia MUNGU ilianza kama masihara siku chache zijazo ntawaeleza kwa urefu ila mwaka jana nilipata ujumbe kutoka kwa...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_9e1c438248b84c2497b94e6a34cffe5c~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_9e1c438248b84c2497b94e6a34cffe5c~mv2.webp)
![MNATAKA MNIONE KWENYE TAMTHILIA GANI? - ASLAY](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_9e1c438248b84c2497b94e6a34cffe5c~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_9e1c438248b84c2497b94e6a34cffe5c~mv2.webp)
MNATAKA MNIONE KWENYE TAMTHILIA GANI? - ASLAY
Huenda mwanamuziki wa Bongo Fleva #Aslay anataka kugeukia tasnia ya filamu na kuupa kisogo muziki kwa muda kwani kupitia ukurasa wake wa...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_d940fdf4f16c40d6ae8c7bfa26026e3e~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_d940fdf4f16c40d6ae8c7bfa26026e3e~mv2.webp)
![UMEUKUBALI USAJILI WA SALIM KIKEKE KWA ASILIMIA NGAPI NDAN YA CROWN MEDIA YAKE KING KIBA?](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_d940fdf4f16c40d6ae8c7bfa26026e3e~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_d940fdf4f16c40d6ae8c7bfa26026e3e~mv2.webp)
UMEUKUBALI USAJILI WA SALIM KIKEKE KWA ASILIMIA NGAPI NDAN YA CROWN MEDIA YAKE KING KIBA?
Kutoka Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) hadi Crown Media Mtangazaji Kinara Salim Kikeke safari yake imeanza upya sasa akiwa ndani...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_910c5b623a3840a28c623ea9680c940f~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_910c5b623a3840a28c623ea9680c940f~mv2.webp)
![MSIPITILIZE KUNIPA SIFA ZA UONGO - ZUCHU](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_910c5b623a3840a28c623ea9680c940f~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_910c5b623a3840a28c623ea9680c940f~mv2.webp)
MSIPITILIZE KUNIPA SIFA ZA UONGO - ZUCHU
Staa wa Bongo Fleva Zuchu ameamua kutoa ya Moyoni baada ya taarifa kusambaa kuwa amebeba mabegi nyumbani na kumuacha Diamond Platnumz...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_e35a04ea7da042c7946fbfea804f7134~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_e35a04ea7da042c7946fbfea804f7134~mv2.webp)
![KIMENUKA ZUCHU AMTOLEA UVIVU HARMONIZE "KIBONGE KOMA"](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_e35a04ea7da042c7946fbfea804f7134~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_e35a04ea7da042c7946fbfea804f7134~mv2.webp)
KIMENUKA ZUCHU AMTOLEA UVIVU HARMONIZE "KIBONGE KOMA"
Baada ya Zuchu kuwasha moto kwa watu wanaomsema sema juu ya uhusiano wake na Diamond Platnumz kwamba kaondoka na mabegi nyumbani kisa...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.webp)
![KIMENUKA ZUCHU KAHAMIA KWA POSHY WARUSHIANA MANENO HAPATOSHI KABISA...](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.webp)
KIMENUKA ZUCHU KAHAMIA KWA POSHY WARUSHIANA MANENO HAPATOSHI KABISA...
Mambo yanaendelea kuwa moto sasa Zuchu karudi tena baada ya Harmonize kupost shoo yake ya juzi na kuandika Mtag King'ang'a aone namna...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_50d97bfc3aba49349c2357ffea5aab0b~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_50d97bfc3aba49349c2357ffea5aab0b~mv2.webp)
![HARMONIZE AELEZA KILICHOTOKEA HADI KUTAKA KUPIGANA NGUMI NA MWAKINYO NDANI YA GYM...](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_50d97bfc3aba49349c2357ffea5aab0b~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_50d97bfc3aba49349c2357ffea5aab0b~mv2.webp)
HARMONIZE AELEZA KILICHOTOKEA HADI KUTAKA KUPIGANA NGUMI NA MWAKINYO NDANI YA GYM...
Siku ya jana kuna video imesambaa mtandaoni ikimuonesha staa wa Bongo Fleva Harmonize akirushiana ngumi na Bondia Hassan Mwakinyo ndani...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_9ff8ebd4ec6b4286b66b749412d9c586~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_9ff8ebd4ec6b4286b66b749412d9c586~mv2.webp)
![KUWA NAWE IMEKUWA JAMBO LA KUSISIMUA ZAIDI - ZAIYLISSA](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_9ff8ebd4ec6b4286b66b749412d9c586~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_9ff8ebd4ec6b4286b66b749412d9c586~mv2.webp)
KUWA NAWE IMEKUWA JAMBO LA KUSISIMUA ZAIDI - ZAIYLISSA
Kutoka kwa mke wa Haji Manara amepost picha hizi kupitia ukurasa wake wa Instagram na kisha kuandika ujumbe huu mtamu kwa mumewe "Kuwa...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_083b91174d8345eea54095f7fe616b85~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_083b91174d8345eea54095f7fe616b85~mv2.webp)
![NILITELEZA NAOMBA RADHI - HARMONIZE](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_083b91174d8345eea54095f7fe616b85~mv2.jpg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_083b91174d8345eea54095f7fe616b85~mv2.webp)
NILITELEZA NAOMBA RADHI - HARMONIZE
Ujumbe kutoka kwa Harmonize "kwa Mola Wangu Yakwamba Niliteleza, Mimi ni Kiumbe dhaifu Mbele Yake kwakuwa Sijapata Elimu tosha Yakujua...
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_248b04c5fadf48dba5d0bfc8cd1ffd94~mv2.jpg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/ca9c0e_248b04c5fadf48dba5d0bfc8cd1ffd94~mv2.webp)
![HAYA KUMEIBUKA USHINDANI KATI YA JUMBA LA KIFAHARI LA DRAKE NA RICK ROSS LIPI NI ZURI ZAIDI?](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_248b04c5fadf48dba5d0bfc8cd1ffd94~mv2.jpg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/ca9c0e_248b04c5fadf48dba5d0bfc8cd1ffd94~mv2.webp)
HAYA KUMEIBUKA USHINDANI KATI YA JUMBA LA KIFAHARI LA DRAKE NA RICK ROSS LIPI NI ZURI ZAIDI?
Wakati Bifu la Drake na Rick Ross likiendelea kupamba moto kunako mitandao ya kijamii kila mmoja akitema cheche kwa mwenzake sasa imefika...
Msasa Media
Follow, like, comment, and share
Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam
bottom of page