top of page
Radio on air
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b49018ce96f346f089945ee53429e392~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_b49018ce96f346f089945ee53429e392~mv2.webp)
![HUDUMA YA POSTA YA MAREKANI YASITISHA VIFURUSHI VINAVYOINGIA KUTOKA CHINA, HONG KONG](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b49018ce96f346f089945ee53429e392~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_b49018ce96f346f089945ee53429e392~mv2.webp)
HUDUMA YA POSTA YA MAREKANI YASITISHA VIFURUSHI VINAVYOINGIA KUTOKA CHINA, HONG KONG
Na VENANCE JOHN Shirika la Posta la Marekani limesema litasitisha kwa muda vifurushi kutoka China na Hong Kong, baada ya Rais Donald...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_c8707f0e885645edb63486e6cd0d8420~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_c8707f0e885645edb63486e6cd0d8420~mv2.webp)
![TRUMP APENDEKEZA WATU WA GAZA WAHAMISHIWE NCHI ZA KIARABU NA GAZA IWE CHINI YA MAREKANI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_c8707f0e885645edb63486e6cd0d8420~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_c8707f0e885645edb63486e6cd0d8420~mv2.webp)
TRUMP APENDEKEZA WATU WA GAZA WAHAMISHIWE NCHI ZA KIARABU NA GAZA IWE CHINI YA MAREKANI
Na VENANCE JOHN Rais wa Marekani, Donald Trump, amependekeza kuwa ukanda wa Gaza uwe chini ya udhibiti wa Mareakani na kwamba watu...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3a3b442322e64bd599369a3a429a8007~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3a3b442322e64bd599369a3a429a8007~mv2.webp)
![MAREKANI YAKATA MISAADA YOTE KWA MISHENI INAYOPAMBANA NA MAGENGE YA UHALIFU NCHINI HAITI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3a3b442322e64bd599369a3a429a8007~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3a3b442322e64bd599369a3a429a8007~mv2.webp)
MAREKANI YAKATA MISAADA YOTE KWA MISHENI INAYOPAMBANA NA MAGENGE YA UHALIFU NCHINI HAITI
Na VENANCE JOHN Marekani imesitisha zaidi ya dola milioni 13 za ufadhili unaotolewa na nchi hiyo kwa operesheni ya vikosi vya usalama...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_f0df4f0eee694ac3a9a8183b95454461~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_f0df4f0eee694ac3a9a8183b95454461~mv2.webp)
![RAIS WA AFRIKA KUSINI AMPIGIA SIMU ELON MUSK](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_f0df4f0eee694ac3a9a8183b95454461~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_f0df4f0eee694ac3a9a8183b95454461~mv2.webp)
RAIS WA AFRIKA KUSINI AMPIGIA SIMU ELON MUSK
Na VENANCE JOHN Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amempigia simu Elon Musk kama juhudi za kupunguza wasiwasi wa kutokea mgogoro wa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.webp)
![TUMEPOKEA KWA MSHITUKO NA MASIKITIKO - SINGIDA BS](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_471e18285c644b2eb60c8a1242b93ffd~mv2.webp)
TUMEPOKEA KWA MSHITUKO NA MASIKITIKO - SINGIDA BS
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Klabu ya Singida Black Stars imetolewa taarifa hii kwa umma. "Tumepokea kwa mshituko na...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2af295966a5a44f797a5b8e7c79bbf36~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_2af295966a5a44f797a5b8e7c79bbf36~mv2.webp)
![AUSTRALIA YAIPIGA MARUFUKU PROGRAMU YA AKILI MNEMBA YA DEEPSEEK KUTOKA CHINA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2af295966a5a44f797a5b8e7c79bbf36~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_2af295966a5a44f797a5b8e7c79bbf36~mv2.webp)
AUSTRALIA YAIPIGA MARUFUKU PROGRAMU YA AKILI MNEMBA YA DEEPSEEK KUTOKA CHINA
Na VENANCE JOHN Australia imepiga marufuku program ya akili mnemba ya China ya DeepSeek kuwekwa kwenye vifaa vyote vya serikali kama...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_e47ee3a52f2b4d9880e7d083ea4b7567~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_e47ee3a52f2b4d9880e7d083ea4b7567~mv2.webp)
![NSSF NA PSSSF KULIPA RIBA KWA KUCHELEWESHA MAFAO KWA WANACHAMA WAKE](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_e47ee3a52f2b4d9880e7d083ea4b7567~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_e47ee3a52f2b4d9880e7d083ea4b7567~mv2.webp)
NSSF NA PSSSF KULIPA RIBA KWA KUCHELEWESHA MAFAO KWA WANACHAMA WAKE
Na VENANCE JOHN Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi akizungumza wakati akijibu...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_acfbb2bc76584218a082f3d2952c405a~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_acfbb2bc76584218a082f3d2952c405a~mv2.webp)
![KAMANDA MKUU WA KUNDI LA DOLA LA KIISLAMU (ISIS) SOMALIA AKAMATWA JIMBONI PUNTLAND](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_acfbb2bc76584218a082f3d2952c405a~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_acfbb2bc76584218a082f3d2952c405a~mv2.webp)
KAMANDA MKUU WA KUNDI LA DOLA LA KIISLAMU (ISIS) SOMALIA AKAMATWA JIMBONI PUNTLAND
Na VENANCE JOHN Kamanda mkuu wa kundi la dola la kiislamu (ISIS), Shirwac Aw-Saciid nchini Somalia amekamatwa. Taarifa hizi...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_792ebfcc9ccc4e15aa416efd57dfe602~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_792ebfcc9ccc4e15aa416efd57dfe602~mv2.webp)
![BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI - MHE. KAPINGA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_792ebfcc9ccc4e15aa416efd57dfe602~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_792ebfcc9ccc4e15aa416efd57dfe602~mv2.webp)
BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI - MHE. KAPINGA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_6d001f7dc487469692f86d6cbaba1c7f~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_6d001f7dc487469692f86d6cbaba1c7f~mv2.webp)
![KIFAA CHA KUTUNZA UMEME (POWER BANK) CHASABABISHA NDEGE KUTEKETEA MOTO KOREA KUSINI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_6d001f7dc487469692f86d6cbaba1c7f~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_6d001f7dc487469692f86d6cbaba1c7f~mv2.webp)
KIFAA CHA KUTUNZA UMEME (POWER BANK) CHASABABISHA NDEGE KUTEKETEA MOTO KOREA KUSINI
Na VENANCE JOHN Ndege ya Air Busan ya Korea Kusini imesema kuwa haitawaruhusu abiria kuweka vifaa vya kutunza umeme (power bank)...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2772b2b4c8ca4efeb6aa6fcfda0006cc~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_2772b2b4c8ca4efeb6aa6fcfda0006cc~mv2.webp)
![SADC NA EAC KUWAKUTANISHA KAGAME NA TSHISHEKEDI KWA SIKU MBILI MFULULIZO HAPA TANZANIA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_2772b2b4c8ca4efeb6aa6fcfda0006cc~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_2772b2b4c8ca4efeb6aa6fcfda0006cc~mv2.webp)
SADC NA EAC KUWAKUTANISHA KAGAME NA TSHISHEKEDI KWA SIKU MBILI MFULULIZO HAPA TANZANIA
Na VENANCE JOHN Wakuu wa nchi kutoka Jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC na wale wa jumuiya ya Afrika Mashariki, siku ya...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_344e61f59d3d4f89bf2dc0bc3b7d4caa~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_344e61f59d3d4f89bf2dc0bc3b7d4caa~mv2.webp)
![MTANDAO WA X (TWITTER) NA TIKTOK ZASITISHWA KATIKA MIJI KADHAA YA CONGO DRC](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_344e61f59d3d4f89bf2dc0bc3b7d4caa~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_344e61f59d3d4f89bf2dc0bc3b7d4caa~mv2.webp)
MTANDAO WA X (TWITTER) NA TIKTOK ZASITISHWA KATIKA MIJI KADHAA YA CONGO DRC
Na VENANCE JOHN Tangu mwishoni mwa juma hili, wakaazi wa miji kadhaa ya Congo DR hawajaweza tena kuunganishwa na mitandao ya kijamii...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b396b838f40941d1bbe0a7b55f42fe6c~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_b396b838f40941d1bbe0a7b55f42fe6c~mv2.webp)
![RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI JOE BIDEN ASAINI MKATABA NA SHIRIKA LA VIPAJI LA LOS ANGELES](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b396b838f40941d1bbe0a7b55f42fe6c~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_b396b838f40941d1bbe0a7b55f42fe6c~mv2.webp)
RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI JOE BIDEN ASAINI MKATABA NA SHIRIKA LA VIPAJI LA LOS ANGELES
Na VEANCE JOHN Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amesaini mkataba wa kazi zake na kampuni ya vipaji ya huko Los Angeles, kuashiria...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3e604e4c5a4c43688f02949a6e8c1a6c~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_3e604e4c5a4c43688f02949a6e8c1a6c~mv2.webp)
![M23 WASIMAMISHA MAPIGANO KWA MUDA KWA AJILI YA MISAADA YA KIBINADAMU KWA RAIA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_3e604e4c5a4c43688f02949a6e8c1a6c~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_3e604e4c5a4c43688f02949a6e8c1a6c~mv2.webp)
M23 WASIMAMISHA MAPIGANO KWA MUDA KWA AJILI YA MISAADA YA KIBINADAMU KWA RAIA
Na VENANCE JOHN Muungano wa makundi ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakiongozwa na M23 wametangaza kusitisha...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_456a25e4462440a691802401f9c84cfd~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_456a25e4462440a691802401f9c84cfd~mv2.webp)
![TRUMP AONDOA USHURU KWA CANADA NA MEXICO AGOMA KWA CHINA, NAYO YALIPIZA KWA KUWEKA 15%](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_456a25e4462440a691802401f9c84cfd~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_456a25e4462440a691802401f9c84cfd~mv2.webp)
TRUMP AONDOA USHURU KWA CANADA NA MEXICO AGOMA KWA CHINA, NAYO YALIPIZA KWA KUWEKA 15%
Na VENANCE JOHN Rais wa Marekani Donald Trump amekubali kusitisha kutoza ushuru wa 25% kwa Canada na Mexico kwa siku 30, na kuondoa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_a2c6cedd78f94073962975214f16547d~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_a2c6cedd78f94073962975214f16547d~mv2.webp)
![KIONGOZI WA KIJESHI ANAYEPANGA MASHAMBULIZI UKRAINE AUAWA KWA BOMU JIJINI MOSCOW](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_a2c6cedd78f94073962975214f16547d~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_a2c6cedd78f94073962975214f16547d~mv2.webp)
KIONGOZI WA KIJESHI ANAYEPANGA MASHAMBULIZI UKRAINE AUAWA KWA BOMU JIJINI MOSCOW
Na VENANCE JOHN Kiongozi wa kundi la kijeshi wanaoiunga mkono Urusi kutoka mashariki mwa Ukraine, Armen Sarkisyan, ameuawa leo na...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_41ae1232d1264a6c896593fc764b3207~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_41ae1232d1264a6c896593fc764b3207~mv2.webp)
![WOLPER NA MUMEWE MITINDOWAYAMALIZA SASA MAMBO SAFI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_41ae1232d1264a6c896593fc764b3207~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_41ae1232d1264a6c896593fc764b3207~mv2.webp)
WOLPER NA MUMEWE MITINDOWAYAMALIZA SASA MAMBO SAFI
Baada ya mikwaruzano ya hapa na pale ya Jackline Wolper na mumewe Rich Mitindo kiasi cha kuanza kudaiana talaka hatimaye wawili hawa...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_8753a972f1904bcba2ce89350e2a82a8~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_8753a972f1904bcba2ce89350e2a82a8~mv2.webp)
![KESI YA RAIS WA CHAMA CHA SOKA HISPANIA KUMBUSU MCHEZAJI BAADA YA KUSHINDA KOMBE LA DUNIA YAANZA](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_8753a972f1904bcba2ce89350e2a82a8~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_8753a972f1904bcba2ce89350e2a82a8~mv2.webp)
KESI YA RAIS WA CHAMA CHA SOKA HISPANIA KUMBUSU MCHEZAJI BAADA YA KUSHINDA KOMBE LA DUNIA YAANZA
Na VENANCE JOHN Mshindi wa Kombe la Dunia la Wanawake wa Hispania Jenni Hermoso amekabiliana na bosi wa zamani wa shirikisho la soka...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_a5967355f79b4ebfb6001911c177fada~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_a5967355f79b4ebfb6001911c177fada~mv2.webp)
![AFRIKA KUSINI YAUTAKA UBALOZI WA TAIWAN KUHAMA OFISI MJI MKUU PRETORIA KUFIKIA MWEZI MACHI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_a5967355f79b4ebfb6001911c177fada~mv2.jpeg/v1/fill/w_305,h_305,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_a5967355f79b4ebfb6001911c177fada~mv2.webp)
AFRIKA KUSINI YAUTAKA UBALOZI WA TAIWAN KUHAMA OFISI MJI MKUU PRETORIA KUFIKIA MWEZI MACHI
Na VENANCE JOHN Wizara ya Mambo ya Nje ya Taiwan imesema kuwa serikali ya Afrika Kusini imeipa Taiwan mwisho wa mwezi Machi kuhamisha...
![](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b340539b617f4b41a45a9c993286a069~mv2.jpeg/v1/fill/w_250,h_250,fp_0.50_0.50,q_30,blur_30,enc_auto/57c8da_b340539b617f4b41a45a9c993286a069~mv2.webp)
![NDEGE NYINGINE YAPATA AJALI MAREKANI, 7 WAFARIKI 5 WALAZWA HOSIPITALI](https://static.wixstatic.com/media/57c8da_b340539b617f4b41a45a9c993286a069~mv2.jpeg/v1/fill/w_306,h_306,fp_0.50_0.50,q_90,enc_auto/57c8da_b340539b617f4b41a45a9c993286a069~mv2.webp)
NDEGE NYINGINE YAPATA AJALI MAREKANI, 7 WAFARIKI 5 WALAZWA HOSIPITALI
Na VENANCE JOHN Watu watano wamelazwa hospitalini hapo jana baada ya ndege ya Medevac iliyokuwa imebeba mtoto mgonjwa na mama yake...
Msasa Media
Follow, like, comment, and share
Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam
bottom of page