AJALI YAUA 15 ARUSHA
Taarifa zilizotufikia mezani hivi punde zinaeleza kuwa Watu 15 wamefariki dunia, na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari la mizigo kufeli breki, na kugonga magari matatu, ikiwemo gari lililobeba wageni waliokuwa wanakwenda uwanja wa ndege, Hiace ya abiria pamoja na gari dogo binafsi, kwenye makutano ya barabarani ya Afrika Mashariki Arumeru mkoani Arusha.
Commentaires