top of page

AKIBA YA FEDHA ZA KIGENI IMEONGEZEKA HADI DOLA MIL. 5,345.5 - DKT. NCHEMBA

Na Ramla Ramadhan


Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba  amesema akiba ya fedha za  kigeni Nchini Tanzania katika kipindi hiki kifupi imeongezeka  kufikia dola za kimarekani milioni 5,345.5 kwa mwaka 2024

Ameyasema hayo wakati akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti ya serikali kwa mwaka 2024/2025 bungeni mjini Dodoma Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa ongezeko hilo limeifanya serikali kuagiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi katika kipindi cha miezi minne mfululizo.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page