Anaandika @auntyezekiel sababu za kumpa mwanae zawadi ya gari
"Kwanza Kabisa Niseme Ahsante MUNGU KWA ZAWADI HII Ya DADA COOKIE!
Siwezi kuandika Vitu vingi lakini kikubwa ni kwamba Cookie Umekuwa faraja kubwa sana kwenye Maisha yangu Umekuwa chachu kubwa sana ya Mm Kuendelea kusaka Maisha kwa Nguvu kuna Muda uwa sioni faida ya Maisha naona poa tuu ila Mkinijia kichwani Watoto wangu Naamka na KUSALI Mwenyezi Mungu aniongeze japo Uhai kidogo Niwasogeze wanangu

mana Najua DUNIA Sio Rafiki kabisaaa Najua nikiondoka hamtoweza Najua Mtakuwa ila Chamoto utakiona haswa ww mana ndio Dada
Kwenye hii siku yako Niseme tuu Nakupenda sana COOKIE WANG tulipotoka ni mbali Mabonde uko Mgongo raha uko Mgongoni Nachokusihi endelea kuwa Mtoto mzuri hvyohvyp dada Japo kuna Muda changamka kidogo dunia haitaki kuwa mpole zaidi utaonekana bwege!
Tatu hili gari jaman Sijampa kwa Maonyesho au kuwa nina Pesa sanaa HAPANA Tena HAPANA HAPANA HAPANA KABISA! Kilichotokea ni hv Cookie now ni CLASS 4 SO wanatakiwa kwenda shule saa 11 na Nusu Alfajiri School Bus inaanza kufata watoto Saa 12 kwahyo hawa ka nne na la Saba lazma wapelekwe na Wazazi wao
Sio kazi ngumu sana ila kutokana na Mazingira kwangu inakuwa Ngumu kuna Muda nakuwa shooting mara nachelewa kurudi
Time nyingine Nasafiri kabisaa kwahyo nyumbani kunakuwa hamna namna zaidi ya watoto kufatwa na Bajaji kitendo cha Wanangu kupanda Bajaji uwa kinaniumiza Mno kwanza
nakaa Porini sana na hizo story za mara mtoto kalawitiwa
mara hv zilikuwa zinanichanganya mno wakitoka ile 11 silali
nawaza tena haswa kipindi cha Mvua muda mwingine anatoa analia si unajua watoto tena basi Dah! Nikasema No way basi tukajichanga tukasema badala ya
kumfanyia bday party acha tumtaftie kigari chake Apate na dereva ili hii Kero iishe! Thank God nilichowaza kimefanikiwa Mwenyewe alifurahi sana mana nilishampromise kuwa tutamnunulia Gari!ila hakujua lini! Happy Bday Dada Mkubwa Happy bday Chaupole wang Happy bday Roho yangu Yesu waletu aliye Hai akutunze Milele Mama Mama Love u so Much my Sweetheart!"
Comments