top of page

AZAM FC WASHUSHA KIUNGO MPYA KUTOKA COLOMBIA

Taarifa mpya tulizozipokea usiku kutoka klabu ya Azam FC zinaeleza kuwa

Azam FC tunayo furaha kumtambulisha, Ever Meza, kama kiungo wetu mpya tukimnunua



kutoka klabu ya Leonnes ya Colombia.

Meza, raia wa Colombia aliyezaliwa Julai 21, 2000; alikuwa kwa mkopo kwenye klabu ya Alianza FC ya huko huko Colombia.

Amesaini mkataba wa miaka minne utakaomuweka Azam Complex hadi mwaka 2028.

Karibu sana Ever William Meza Mercado;

Bienvenido Ever Meza!"

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page