top of page

BAADA YA MWIJAKU KUSEMA YANGA IKISHINDA ALLY KAMWE AMCHUKUE MKE WAKE, SASA ALIA WAYAMALIZE

Mtangazaji Mwijaku alisema kama Simba itafungwa na kutolewa na Yanga SC nusu fainali basi Afisa Habari wao Allh Kamwe amchukue mke wake.





Sasa yametimia Ally Kamwe amepost picha hiyo kisha kaandika ,"Kumbe Mke anauma Bana.. Yani Hivi kina Juma Lokole wanavyompost post Mke wangu Mwenzenu Nasikia Wivu" Kisha Mwijaku akaja kusema, "#ALI #ALI MIMI NA WEWE NI NDUGU UNALIJUA HILO..! ACHA HUU UTANI HAUFAI UNANIUMIZA NDUGU YAKO."


Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page