Unaambiwa Madaktari huko nchini Marekani wamefanikiwa kumpandikizia mgonjwa figo ya nguruwe kwa mafanikio makubwa. Upasuaji huo umefanyika katika hospitali ya Massachusetts
huko Boston Marekani. Mgonjwa huyo, mwanaume mwenye asili ya Kiafrika amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa figo kwa muda mrefu na kwa sasa alikuwa anafanyiwa matibabu ya kusafisha damu hata hivyo kwa sasa madaktari walikuwa wanapata changamoto ya kupata…
See more
Comments