top of page

DARASA KUWAKUTANISHA WAKALI ALIKIBA, HARMONIZE, ZUCHU NA MBOSSO NDANI YA ALBAMU YAKE

a Godson Mbilinyi


Sikio lako likae tayari kwa kusikia wakali wa muziki kutoka Tanzania yaani Alikiba, Mbosso, Zuchu, JayMelody, Harmonize na wengine wengi ndani ya albamu mpya ya @darassacmg255 iitwayo TAKE AWAY THE PAIN.


Album hiyo yenye nyimbo 15 tayari Darassa ameweka wazi tracklist ya ngoma hizo akiambatanisha na ujumbe huu:


"HII NI TIBA MBADALA YA KIBURUDANI. HII NI ALBAM YA KARNE THIS IS RECREATION ALTERNATIVE THERAPY.

THIS IS THE ALBUM OF THE CENTURY


Asante sana my brothers and sisters kwa kushirikiana na sisi, kwa pamoja tumetengeza hichi kitu bora sana kwa watu wetu. Mmetupa nguvu, moyo, muda pamoja na ujuzi wenu tunafahamu ni kitu cha thamani sana kwa mtu kutoa...


TAКЕ AWAY THE PAIN TRACKLIST


00; Intro Take Away The Pain


01: Sipping Waves Smoking Life


02: Wolo


03: Pull Up Feat Kondela


04: Breakdown Feat Alikiba


05: Bala Bala


06: Mazoea Feat Harmonize


07: Love Is Crazy Feat Zac Brown & Kondela (CMG)


08: Romeo Feat Zuchu


09: Rock Of My Heart Feat Zac Brown & Kondela (CMG)


10: Looking For Love Feat Mbosso


11: Down For You Feat Bien


12: Tulia na Mimi Feat Jay Melody


13: Sina Pressure Feat Jovial


14: Channel


15: Reasonable Man


Albamu inatarajiwa kutoka Februari 7 mwaka huu 2025.

コメント


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page