top of page

DAWASA MIONGONI MWA WASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WAHANDISI NCHINI


   Sehemu ya watumishi wahandisi Wanawake wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika kongamano la 9 la wahandisi Wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya wahandisi Tanzania linalofanyika kuanzia tarehe 21 - 22 Agosti, 2024 - jijini Dar es Salaam.


Kongamano hilo limefunguliwa na Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa limebeba kaulimbiu ya "Nguvu ya Wahandisi Wanawake katika kuendeleza maendeleo kuelekea ulimwengu endelevu."

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page