Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DAWASA ni miongoni mwa washiriki wa Maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani inayofanyika tarehe 1- 5 Juni, 2024. Mkoani
Dodoma.
Wiki ya Mazingira inaadhimishwa katika viwanja vya Jakaya Kikwete, na banda la DAWASA linapatikana katika banda la Wizara ya Maji na Taasisi zake.
Kauli Mbiu ni Urejeshwaji wa ardhi iliyoharibika, na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame
Comments