top of page

"DIAMOND KUPIGA SHOO KWA SASA SI CHINI YA MILIONI 255"

SALLAM SK Pokea taarifa kutoka kwa Meneja wa msanii Diamond Platinumz Bwana Sallam



SK ni kwamba ameendelea kusisitiza kuwa dau la msanii wake @diamondplatnumz kwa sasa kufanya show sio kinyonge pesa ambayo mtu anapsa kuandaa siyo chini ya Dola za Marekani 100,000 ambayo ni kama milioni 255 kwa sasa.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page