top of page

E UNGETAMANI KUONA WAMEFANYA KOLABONi

wakali wa muziki Davido wa Nigeria na Rayvanny wa Tanzania wakiwa wamekutana huko



Bondeni kwa Mandela Afrika Kusini.

Davido amewahi kushirikiana na wasanii wa Tanzania kwa kufanya kazi pamoja na wasanii kama Diamond Platnumz na Dayna Nyange, Je ungetamani sasa iwe zamu ya Rayvanny na Davido? Tujuze.

Kommentit


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page