Kutoka mkoani Mara Imeelezwa kuwa chanzo cha ugomvi uliosababisha kuuawa kwa Julius Rubambi (38), ambaye ni Ofisa wa Kilimo katika Kata ya Neruma wilayani Bunda mkoani Mara, ambaye anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na kung'atwa katika sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi, na mkewe aitwaye Elizabeth Stephen (30), ni baaada ya mkewe huyo kubaini kuwa mumewe amezaa nje ya ndoa.
top of page
Radio on air
Msasa Media
Follow, like, comment, and share
Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam
bottom of page
Comments