top of page

ENDELEENI KUUGULIA NA POINTI SITA ZA MNYAMA - AHMED ALLY


Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya


"Nyuma mwiko wanaumia sana na mafanikio ya Simba, Sasa wanajificha kwenye kivuli cha vurugu, Eti wanajifanya wana uchungu na Uwanja, mambo ya viti tuachieni sisi na Serikali, Nyie endeleeeni kuugulia point 6 za Mnyama na point yenu isiyogawanyikaaa".

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page