Nyota aliyeshika nafasi ya pili kunako mbio za ufungaji bora msimu uliomalizika wa Ligi Kuu ya
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_3d4afd8c7c0a463e8a4da413ae92ebb1~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_3d4afd8c7c0a463e8a4da413ae92ebb1~mv2.jpg)
NBC 2023/24 Feisal Salum anayekipiga kunako klabu ya Azam FC yupo mapumzikoni kwao visiwani Zanzibar.
@feisal194 anayetajwa kuwa na msimu mzuri sana anaonekana akiwa na furaha akiitumia vyema likizo yake kabla ya msimu mpya wa 2024/25 kuanza ambapo pia klabu yake ya @azamfcofficial inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL.