Kutoka jijini Arusha kwenye zoezi la kuaga miili ya wanafunzi waliofariki kwenye ajali ya gari la shule lililoanguka kwenye Korongo la Maji haya ndio majina ya Marehemu
1-Abigael P Shayo.
2-Abi Albon P. Shayo.
3-Winfrida E.Reuben.
4-Noela J. Kivuyo.
5-Daylan J. Kibira.
6-Shedrack William
7-Morgan E.Mush.
8-Altracia E. Mushi.
9-Bryan T. Nguyaine-Kijana aliefariki wakati akifanya zoezi la Uokoaji wanafunzi hao.
Aidha Rais Samia ametoa Tsh Milioni 5 kwa familia ya Bryan kama sehemu ya pole hivyo itawekwa kwenye akaunti ya mkewe.
Commentaires