top of page
Radio on air

HUDUMA YA MAJISAFI YAENDELEA KUIMARIKA DAR ES SALAAM


Huduma hiyo ya maji imeanza kurejea na inaendelea kupatikana vizuri katika maeneo tofauti yakiwemo Makongo, Ubungo, Kibo, Kimara, Tabata, Segerea na maeneo mengine ambayo sasa msukumo wa maji unaendelea kuongezeka na kuwafikia wateja mbalimbali.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) ilitangaza kwa umma dharura ya kusimama kwa usambazaji wa huduma ya maji kwa wateja wanaohudumiwa vyanzo vya Ruvu Juu na Ruvu Chini ili kupisha matengenezo ya umeme katika maeneo hayo.

Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page