Je wajua kuwa Yanga ikishinda mchezo wake wa leo dhidi ya Mtibwa Sugar atatangazwa kuwa
bingwa wa ligi kuu msimu huu? Kivipi? Ni hivi
Yanga akishinda atafikisha alama 71 ambazo hata Simba akishinda michezo yake minne iliyobaki atafikisha alama 69 na Azam akishinda michezo yake yote atafikisha alama 69 sawa na Simba.
UNACHELEWA WAPI SASA?
Comments