top of page

JOH MAKINI AMTULIZA GNAKO "HATUWEZI KUTOA MIZIKI KIHOLELA"

Baada ya @gnakowarawara kushindwa kuvumilia kuona ngoma za Kundi la Weusi zipo ndani


tu halafu hawaziachii akaamua kuforce kingi na kutoa kionjo huku akitishia kuziachia mwana kundi mwenzake @johmakinitz amempa onyo akisema

"Hatuwezi kutoa miziki kiholela kwa kujaribu kama Pipii hizi sio piano bana"

Sasa Gnako ameweka msimamo akisema

"HUYUU MPORENI SIMU ATAVUNJA,, MAANA USIKU HUU NAACHIA NGOMA KILA MAHALI

NJOONI MNIUWE NIPO НОМЕ НАΡΑ"

Haya sasa wacha tusubiri kuona hii vita itaishaje.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page