top of page

JUMA LOKOLE AKUBALI YAISHE ASEMA MWISHO WAKE NI KESHO KUTANGAZA WASAFI MEDIA

Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa mtangazaji wa kipindi cha MashamSham Wasafi FM Juma Lokole ameandika ujumbe huu

"WAPENZI. WANGU WOTE.......!!! NAJUA MNANIPENDA SANA ....!! NA MIMI NINA WAPENDA SANA ....!!


KWA MASIKITIKO. MAKUBWA NAPENDA KUSEMA SIKU YA KESHO. IJUMAA. TAREHE 17/01/2025


KITAKUWA KIPINDI CHANGU CHA MWISHO KUSIKIKA MASHAM SHAM .... NAPUMZIKA KAZI KUEPUSHA MENGI YANAYOENDELEA ILI KUWE NA AMANI ....!!


KESHO. NTAKUJA KUWAAGA VIPENZI VYANGU....!

INSHALLAH KESHO TUKUTANE SAA TANO MPAKA NANE MCHANA".


Andiko hili la Lokole linakuja muda mchache baada ya Zuchu kuwachana Wasafi Media juu ya kumuongelea vibaya kwenye kipindi.

コメント


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page