Kutoka kwa Mfanyabiashara maarufu na namba moja Tanzania na Afrika Mashariki Mohamed
Dewji maarufu kama MO ana ujumbe huu mfupi wa kukuhamasisha juu ya suala la matumizi ya muda Kila siku huleta fursa mpya. Ninaanza siku yangu saa 12, nikiwa tayari kuchangamkia kila fursa. Wewe unaamka saa ngapi? Muda ni Mali" Je wewe huwa unaamka saa ngapi?
留言