Mambo yanaendelea kuwa moto sasa Zuchu karudi tena baada ya Harmonize kupost shoo yake ya juzi na kuandika Mtag King'ang'a aone namna Harmonize alivyojaza halafu anasema
![](https://static.wixstatic.com/media/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.jpg/v1/fill/w_980,h_980,al_c,q_85,usm_0.66_1.00_0.01,enc_avif,quality_auto/ca9c0e_aff3bdb6f4d04795a93865b8000ed125~mv2.jpg)
hata Hit hata moja kwa sasa hii imefanya Zuchu arudi na kuandika ujumbe huu ambao pia umemwamsha mpenzi wa Harmonize Poshy Queen ambaye pia amejibu mapigo
Zuchu kaanza
"Harmonize baba zima kazi ya kudandia visivokuhusu Mwanamke wako yuko busy Kuomba nafasi kwa huyo Unaejifanya nusu yako shenzi
KOMA KISTULI"
Sasa Poshy kaona asiwe mnyonge nae kafunguka hili
"We koma
MWILI MZIMA KUCHA HADI NYWELE KALIO LANGU LA KUSHOTO !!!! ASK HIM AGAIN !! Shem kama shem Nimeingiaje Humu"
Kommentare