top of page

KIPA WA YANGA SC KUCHUANANA KIPA WA MAN U TUZO ZA CAFF



Fahamu kuwa mlinda mlango wa Timu ya Taifa ya Mali na klabu ya Yanga SC @djiguidiarraofficial ametajwa kuwania Tuzo za CAF katika kipengele cha golikipa bora, wa mwaka.


Diarra ametajwa kuwania Tuzo hiyo akichuana na makipa wengine Kama Andre Onana wa Manchester United ya Uingereza, Ronwein Williams wa Mamelodi ya Afrika kusini, Ousamma Benbott wa USM Alger


Orodha nzima ya wanaowania ni hii


Diarra - Yanga


Benbot - USM Alger


Onana - Manchester Utd


Fofana - Angers


Mpasi - Rodez AF


Shobier - Al Ahly


Munir - RS Berkane


Nwabali - Chippa Utd


Williams - Mamelodi


Memmiche - Esperance


Aidha klabu za Simba na Yanga zinawania tuzo za CAF kwenye klabu bora Afrika.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page