Baada ya Klabu ya Simba SC kutoa sare ya 1 - 1 dhidi ya Ihefu SC mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe amepost picha ya Nguruwe na kuandika "Lakini
Angalau wamepata Ka Nguruwe kao Kamoja"
Ikumbukwe kuwa kuna Mfanyabiashara mmoja ambaye ni mfugaji wa Nguruwe alisema katika kila Goli watakalofunga Simba atatoa Nguruwe.
コメント