Kutoka mkoani Pwani Lori lililobeba mafuta limepinduka katika eneo la Misugusu, Wilayani Kibaha ambapo kundi kubwa la wananchi wamejitokeza kuchota mafuta, ambayo yanamwagika, licha ya Askari kuwazuia lakini wameendelea kuchota mafuta hayo Endelea kuwa nasi taarifa zaidi zitakujia.
top of page
Radio on air
Msasa Media
Follow, like, comment, and share
Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam
bottom of page
Comments