top of page

LULUDIVA ATIMIZA MIAKA 29...

Msanii wa Bongo Fleva Luludiva leo Machi 23 anatimiza miaka 29 tangu azaliwe mwaka 1995,



LuluDiva alianza kujizolea umaarufu miaka 7 iliyopita kwa ngoma yake ya Milele aliyofanya na Barnaba ambapo ilimfungulia njia na kutikisa baadae na ngoma kama Ona akiwa na Rich Mavoko na nyingine nyingi.

HAPPY BIRTHDAY LULUDIVA.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page