top of page

MAONI YA TRUMP JUU YA KUWALINDA WANAWAKE NI CHUKIZO - HARRIS

Na Ramla Ramadhan


Mgombea wa kiti cha Urais wa Democratic Party nchini Marekani Kamala Harris amesema kuwa maoni ya Donald Trump kuhusu kuwalinda wanawake "kama wanawake watapenda au la" yanaonesha kuwa mgombea wa Urais wa Republican haelewi haki za wanawake


Harris ameyasema hayo jana kabla ya kuanza kutumia siku hiyo kufanya kampeni katika majimbo ya magharibi ya Arizona na Nevada


Kulingana na Kampeni zinazoendelea Nchini Marekani kwa wagombea wa kiti cha Urais Trump amebaini haki za wanawake kutokutoa mimba hivyo kujivunia kwenye mikutano na wanachi wa Marekani kuwa atawalinda wanawake na atahakikisha hawatakuwa wanafikiria juu ya suala la kutoa mimba.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page