Wakati joto la usajili likiendelea kupamba moto Meneja habari na mawasiliano wa klabu ya
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_da9e11d55a4b4c7f813c17bcb2f1a7ff~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_da9e11d55a4b4c7f813c17bcb2f1a7ff~mv2.jpg)
Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya
"Tunaemtaka atabaki tuu hata akihitaji tumpe dunia nzima ili abaki Simba tutampa ili abaki kwa maslahi ya Simba, kwa ufupi ni kwamba hatushindwani na mahitaji ya mchezaji".