top of page

MCHEZAJI VICTOR AMTEMA MCHUMBA WAKE WA KIZUNGU ANAYENG'AN'ANIA WAFUNGE NDOA


Unaambuwa Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria na

Bayer Leverkusen, Victor Boniface, aliachana tu na mpenzi wake raia wa Norway kwa sababu alisisitiza kwamba lazima wafunge ndoa kihalali.


Wawili hao walichumbiana kwa zaidi ya miaka minne, lakini Bi dada akaona anachelewa kuvaa shera akaendelea kusisitiza anataka ndoa. Baada ya kumpa presha mshambuliaji huyo wa Super Eagles, aliamua kusitisha uhusiano huo mara moja. Hii ni wazi kabisa Boniface anakimbia kuokoa maisha yake kimapenzi na pesa.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page