top of page
Radio on air

MIEZI MIWILI BAADA YA KUJIFUNGUA PAULA AANZA KUPIGA MISELE NA MWANAE

Ikiwa ni miezi miwili toka ajifungue mtoto mwanadada Paula ambaye wazazi wake wote ni



mastaa yaani mtayarishaji wa muziki P. Funk Majani na muigizaji wa Bongo Movie Kajala rasmi ameenza mitoko akiwa na mwanae.

Paula ambaye amezaa na staa wa Bongo Fleva Marioo wiki mbili zilizopita alifanya 40 ya mwanae Amara na sasa rasmi wameanza kula misele ya hapa na pale kama unavyowaona kwenye picha wakiwa kwenye hoteli ya Kimataifa ya Serena jijini Dar es Salaam.

Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page