Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Katibu Mkuu Jumuiya Wazazi CCM taifa (MNEC) Ally
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_e401a70b64a64e029bc295d35523b571~mv2.jpg/v1/fill/w_980,h_980,al_c,q_85,usm_0.66_1.00_0.01,enc_avif,quality_auto/146e6d_e401a70b64a64e029bc295d35523b571~mv2.jpg)
Hapi amechapisha picha hii ya Askari akifunga kamba za viatu kwa mtoto huyu wakati akiwavusha barabara ambapo picha hii inaonekana imemgusa kiasi cha kuandika ujumbe usemao
"Mnaomfahamu askari huyu, mwambieni mzazi nina zawadi yake."
See less
Comments