top of page

MNATAKA MNIONE KWENYE TAMTHILIA GANI? - ASLAY

Huenda mwanamuziki wa Bongo Fleva #Aslay anataka kugeukia tasnia ya filamu na kuupa kisogo muziki kwa muda kwani kupitia ukurasa wake wa Instagram amewauliza mashabiki



zake kwamba

"Mtu wa Maana Kabisa Mnataka kuniona kwenye tamthilia gani?" Ameuliza Aslay.

Mkali huyo wa muziki mwenye kipaji cha aina yake aliibuka toka akiwa mdogo kupitia kituo cha mkubwa na Wanawe cha Mkubwa Fella ambapo amefanya vyema kwa miaka mingi sasa kwenye muziki. Je akigeukia filamu unadhani atafanya vizuri.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page