Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed
Ally ameandika maneno haya
"Mpira mzuri ni kesho na mpira wa kistaarabu ni kesho, Tutamfunga mtu Insha Allah na tutaondoka Uwanjani kwa furaha wala hatupigani".
Unadhani ana maana gani?
Comentarios