top of page

MWAKA WA TANO SIJASHIRIKITENDO LA NDOA SIUMWI NAWALA SIJAFA - ROMA MKATOLIKI

Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki ambaye kwa kipindi kirefu sasa amekuwa akiishi nchini Marekani huku mkewe na familia yake wakisalia Tanzania amefunguka haya ,"Huu Ni Mwaka Wa 5 Sijazini!! Sijavunja Amri Ya 6!! Na Siumwi Wala Sijafa!!




Hakika Ukiamua Kuwa Mwaminifu Kwenye Ndoa Inawezekana!! Wanaoshindwa Wanajiendekeza Tu!! Mungu Ni Mwema Sana BE INSPIRED BRO!!"

Kommentare


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page