Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Sinde, Manispaa ya Lindi, Hussen Hassan Machela (14) amejiua kwa kujinyonga baada ya Baba yake mdogo kumlazimisha aende Shule
huku Mtoto huyo akidai hawezi kwenda kwakuwa sare zake zimeloa na maji.
Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi, limetokea March 18,2024 saa nane mchana, Mtaa wa Sinde Kijiji cha Kitumb…
See more
Comments