top of page

NIMEAMUA KURUDI KWENYE IMANI YA DINI YANGU, KUANZIA JUMAPILI NITAKWENDA KANISANI - DIVA

Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mtangazaji wa kipindi cha Lavidavi Wasafi FM @divatheebawse amefunguka haya "Going back to where I belong !. Nimeamua kurudi ktk Imani Ya Dini Yangu Ya Kikristo!. Nimezaliwa Mkristo na nimekulia katika Maisha na Mazingira Ya Kikristo ... No hard feelings!.


I am Roman Catholic!. Jesus Is The One Kuanzia Jumapili Hii ntaenda kanisani St. Peters na kuendelea na Maisha Yangu Ya Kuamini katika Mungu Na Yesu Kristo kama Tumaini langu. Mengi zaid ntakuwa na innolight sns kuelezea in details na ku inspire vijana ktk sehemu Mbalimbali!.


all in all I am Blessed and Highly favored by The Lord Mungu Yu Mwema Diva Gissele Malinzi".

コメント


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page