top of page

NIMEJITAHIDI NISIGOMBANE NA MTU ILA WASANII WANAPENDA SANA UGOMVI - JAYMELODY

Kutoka kwenye InstaStory ya ukurasa wa Instagram wa mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva JayMelody amefunguka haya




,"Nimejitaidi sana nisigombane na msanii yoyote katika maisha yangu, lakini nimegundua haiwezekani. Wasanii mnapenda sana ugomvi, Mnapenda sana chuki aisee"


Unadhani kitu gani kimemsibu JayMelody?

留言


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page