top of page

POSHY QUEEN AMPA BARAKA ZOTE HARMONIZE USIKU WAKE

Mwanadada Poshy Queen amemtakia kila la kheri mpenzi wake mwanamuziki Harmonize kwenye tukio lake kubwa la uzinduzi wa Albamu yake mpya ya Muziki wa Samia usiku wa leo



katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam kupitia ukurasa wake wa Instagram Poshy amechapisha picha hizi kisha kuandika

"Na usiku wa leo mtu wangu ataandika historia, nimefurahi sana, Alifanya kazi kwa bidii kwa hili, naiweka leo mikononi mwa Mungu." Ameandika Poshy.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page