Straika raia wa Zimbabwe, Prince Dube ameandika barua kushukuru na kuaga viongozi, Benchi la Ufundi, wachezaji wenzake na mashabiki wa Azam FC baada ya kufanya nao kazi
kwa miaka mitatu na nusu.
Kumbuka Azam FC ilimpa Dube maelekezo ya kufuata masharti ya kuvunja mkataba kama yalivyoainishwa katika mkataba wake akitakiwa kulipa USD 300,000 ili aweze kuruhusiwa kuondoka klabuni hapo.
Comments