top of page

RAIS WA TIMU YA KIKAPU DAR CITY

MZENJI ATUA NAIROBI APOKELEW

NA MTOTO WA RAIS RUTO CHARLINE

Rais wa Timu ya Mpira wa Kikapu ya Dar City, Mussa Mzenji amefika Nairobi Kenya na



kupokelewa na mtoto wa Rais Ruto, Charline Ruto baada ya kumualika kutembelea mechi za Bonanza za mpira wa kikapu ambazo baadhi zinasimamiwa na foundation ya mtoto wa Rais Ruto

Katika mualiko huo pia mgeni mwingine aliyealikwa ni Pamoja Na mtoto wa Rais wa Zimbambwe, Tariro Washe.

Hii yote ni kutokana na mafanikio ya kukuza mpira wa kikakupu nchini ambayo Mussa amekua akifanya kwa kipindi cha hivi karibun ikiwemo kusapoti timu za kikapu za Pazi na Dar City.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page