top of page

RASMI MWALIMU WA KWANZA AZINDULIWA INDIA KWA ANAFUNDISHA KWA LUGHA 3

Kila uchwao mapya yanaibuka yaani Dunia inaenda kasi kweli kweli sasa Kampuni ya Makerlabs Edutech imezindua roboti wa kwanza mwalimu aitwaye Iris ambaye atafundisha katika shule ya Kerala, pamoja na Shule ya Sekondari ya Juu ya KTCT, Thiruvanathpuram



nchini India.

Mwalimu huyo wa kike ambaye anapata usaidizi kutoka kwa Al atawafundisha wanafunzi masomo mbalimbali kwani kwa sasa anazungumza lugha tatu lakini wataalamu wana mpango wa kupanua uwezo wake ili aweze kuzungumza lugha hata 20 kwa ajili ya kuwafunza wanafunzi lugha tofaut

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page