top of page

RASMI TIKTOK YAREJEA HEWANI MAREKANI


Mtandao wa TikTok umeanza tena kutoa huduma zake nchini Marekani baada ya kufungwa kutokana na sheria mpya ambayoilitaka kupiga marufuku matumizi ya mtandao huo.


Mtandao huo unarejea kufuatia uhakikisho kutoka kwa Rais mteule Rais Donald Trump, ambaye aliahidi kutoa agizo la kwamba Tiktok ipatikane kwa Wamarekani wote zaidi ya milioni 170.

Comentarios


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page