TIMU ZA YANGA VS MAMELODI SUNDOWNS NA PIA NI SIMBA SC VS AL AHLY
Kutoka jijini Cairo Misri Simba imepangwa kukutana na Al Ahly ya Misri wakati Yanga ikiangukia mikononi mwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika michezo yao ya robo fainali Ligi ya
Mabingwa Afrika msimu huu, na wote wawili wataanzia nyumbani.
Mechi za mkondo wa kwanza zitapigwa kati ya Machi 29-31 na kurudiana kati ya Aprili 5-7, 2024.
Hii hapa ratiba kamili ya robo fainali na nusu fainali:-
ROBO FAINALI
Simba SC vs Al Ahly
TP Mazembe vs Petro Atletico
Esperance vs ASEC Mimosas
Yanga SC vs Mamelodi Sundowns
NUSU FAINALI
Esperance/ASEC vs Yanga vs Mamelodi TP Mazembe/Petro Atletico vs Simba/Al Ahly.
Nani kutoboa kwenda Nusu Fainali?
Comments