Kwenye Dakika 30 za nyongeza baada ya 90 kutamatika imefanya Kipa wa Slovenia, Jan
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_552df6d89cc04a4b863962454f92f802~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_552df6d89cc04a4b863962454f92f802~mv2.jpg)
Oblak kuwa shujaa baada kufanikwa kwenda upande sahihi kwa kuruka na kuzuia mkwaju wa penalti uliopigwa Cristiano Ronaldo na kuiokoa timu yake.
Cristiano Ronaldo ameonekana akibubujikwa na machozi baada ya kukosa mkwaju huo na sasa Mechi ikielekea tamati ngoma bado ipo 0 - 0.