top of page

SIMBA SC APIGWA MATEKE MAWILI KWA MPIGO, AL AHLY KAMTOA CAF MASHUJAA KAMTOA SHIRIKISHO

Klabu ya Simba imeondoshwa kwenye michuano ya Kombe la CRDB BANK FEDERATION CUP baada ya kutoa Sare ya 1- 1 na baadae kutolewa kwenye changamoto ya mikwaju ya Penati (6-5) kwenye mchezo wao dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma, haya ni maumivu mawili ya mfululizo baada ya kutolewa kimataifa na sasa wanatolewa Kombe la Shirikisho la CRDB hivyo wanasalia kupambania Ligi Kuu.


Kommentare


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page