top of page

SIMBA SC WATINGA FAINALI KOMBE LA MUUNGANO ZNZ FT KVZ FC 0 - 2 SIMBA SC

Baada ya miaka 20 hatimaye Kombe la Muungano limerejea likiianzia hatua ya nusu Fainali kwa



kushirikisha timu nne huko Zanzibar sasa Simba imekuwa na mchezo wa kwanza na kufanikiwa kushinda mabao mawili kwa moja magoli yakifungwa na Freddy Michael na Israel Mwenda kwa mkwaju wa penati dakika za mwishoni.

Kesho ni Azam FC dhidi ya KMKM ambapo mmoja wao atakutana Fainali na Simba SC wikiendi ya juma hili.

Komentarze


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page