top of page

SIMBA SC YAPIGWA STOP NA CAF KUINGIZA MASHABIKI


Klabu ya Simba SC imefungiwa michezo miwili kucheza bila mashabiki, mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili hii na mchezo mmoja wa robo fainali.


Timu ya Simba pia imetozwa faini ya dollars Elfu 40 sawa na zaidi ya shilingi millioni 96 na zilipwe baada ya siku 60.

댓글


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page