top of page

SINGIDA FATENI MIONGOZO TUTAKUTANA HUKO, YANGAINAJUA INACHOKIFANYA - KAMWE

Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Afisa habari na mawasiliano Yanga SC Ally Kamwe amefunguka haya "Singida Taratibu mnazozipigia kelele haziko Instagram, Fateni miongozo Tutakutana huko. YANGA kwa Ukubwa wake inajua inachokifanya kwenye Hatua zake


Ila Ushauri wangu kwenu, Msijae kwenye Mfumo wa Ajenda za hovyo za Makolo

Hao Makolo walishakopa Kocha kule Tanga na wachambuzi wakasifia sana kuwa ni jambo jema kwa Nchi... Hakuna aliyesema Lolote


Makocha kuondoka Timu moja kwenda Timu nyingine ni Jambo la kawaida kabisa.

Huu muda mnaoutumia kucheza Ngoma ya Makolo mngeuweka kwenye kutafuta Kocha mpya kama sisi Tulivyofanya chap kwa Haraka baada ya kocha wetu kuondoka

TUKUTANE KMC WANANCHI.. FOCUS NI POINT 3 LEON

MWENYEKITI WA WASEMAJI".

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page